Thursday, 5 June 2014

Sing Along to Mambo ya Ajabu...




Usiyebadilika na wakati; wewe ni Mungu wa ajabu
Uliyejaa rehema na neema; wewe ni Mungu wa ajabu
Oooh..aaaah

Wangojwa wanapona kwa jina lako(ooh ooh); wewe ni Mungu wa ajabu
(Uuuuuu)
Kifo ata mauti baba umeshinda;wewe ni mungu Mungu wa ajabu

Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unatenda Babaaaa
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unateenda Babaaaaa
Mambo ya ajabu

Watengeneza njia pasipo na njia; wewe ni Mungu wa ajabu
Mungu usiyeshindwa na lolote; wewe ni Mungu wa ajabu
(Oooh..aaah)

Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unantenda Babaaaa
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unatenda Babaaaaa
Mambo ya ajabu

(Ooooohooooh)

Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unatenda Babaaaa
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Mambo ya ajabu
Wewe unatenda Babaaaaa
Mambo ya ajabu


No comments:

Post a Comment